OJADACT yashiriki maadhimisho ya miaka 10 THRDC
Mwenyekiti wa OJADACT Bwana Edwin Soko aliyesimama upande wa kulia pembeni ya Rais kwenye picha ya pamoja kwenye maadhimisho ya miaka 10 ya kuanzishwa kwa mtandao wa watetezi wa haki za binadamu Tanzania