Matukio katika picha- OJADACT ikiadhimisha siku ya Uwazi wa takwimu
Chama cha Waandishi wa Habari wa kupiga vita matumizi ya dawa za kulevya na uhalifu Tanzania (OJADACT) kimeadhimisho ya Siku ya Uwazi wa takwimu yaliyo andaliwa na chama hicho kwakushirikiana na Shirika la Open Knowledge Foundation.



Mwenyekiti wa Chama cha Waandishi wa Habari wa kupiga vita matumizi ya dawa za kulevya na uhalifu Tanzania (OJADACT) Edwin Soko wa nane kutoka kushoto akiwa na washiriki wa maadhimisho ya siku ya uwazi wa takwimu.