OJADACT imeshiriki Jukwaa la Mwaka la Mashirika yasiyo ya Kiserikali Jijini Dodoma
OJADACT leo Oktoba 4, 2022 imeshiriki Jukwaa la Mwaka la Mashirika yasiyo ya Kiserikali Jijini Dodoma na Mgeni rasmi alikuwa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kwenye ukumbi wa JK Dodoma